Habari za majukumu viongozi! Kwa masikitiko makubwa nawajulisha kuwa siku ya jumamosi tarehe 17/5/2025 mwanafunzi Kelvin John wa drs la IV S/M Nyabisindu akiwa anatokea […]
Kaa Mbali ni Wangu Jamani
Kama wadau wa Siamia Media Group, waliotangaza uchumba. Wewe unayenyemelea, kaa mbali – na usiseme kamwe kwani umeshachelewa Hongereni sana kwani mlipendeza. Tunawatakia ndoa na […]
Robert Josephat
TANZIA Kwa masikitiko makubwa sana, napenda kuwajuza kuwa kijana Robert Josephat (mjukuu wa marehemu mzee Meshack Rudaheza) hatuko nae tena duniani. Amepata ajali ucku wa […]
Zabron Singers Sterling, Mass USA
Leo tarehe 10, May, 2024 Wana Zabron Singers, the divas of the team, wakiwa wanaabudu na Wasabato huko mjini Sterling, Massachusetts. Zifatazo ni baadhi ya […]
Mchuano wa Ubunge Missenyi Kazi Kwa Wajumbe
Na: Mwandishi Wetu Leo tunakwenda kutazamia jimbo na wilaya maarufu kwa wasomi wengi nchii hii ambalo ni Nkenge na ni wilaya ya Missenyi ambapo tayari […]
Kumi Bora – Wawania Ubunge Ngara
Mchambuzi wa kisiasa, Titho Philemon amechapisha majina ya wanaoonekana onekana kufaa kuliwakilisha Jimbo La Ngara Bungeni. Bofya link ifatayo kupata habari kamili kama ilivyoazimwa kutoka […]
Madhara ya Mvua Kali Huko Bukoba
FAMILIA 18 ZAKUKOSA MAKAZI BUKOBA KUTOKANA MVUA KUBWA ILIYONYESHA APRIL 30 MWAKA HUU ILIYOAMBATANA NA UPEPO MKALI HUKU MIGOMBA 4198 IKIATHIRIWA. Na johansen Buberwa – […]
Majina 266 ya Papa wa Kanisa Katoliki na Mahali Walipozaliwa
Habari na Hoja mchanganyiko List ya majina 266 ya Papa wa Kanisa Katoliki na mahali walipozaliwa Thread starterI am Groot Start dateSep 7, 2020 Tagskanisa […]
Justin Kimodoi Aagwa Kifalme na Kwaheshima Zote
Bukoba ilikusanyika kumuaga mwanaharakati, mtoto wa Bukoba, na zawadi tunu kwa mkoa wa Kagera. Mamia ya watu kutoka sehemu mbali mbali ulimwenguni wamekusanyika Bukoba kumpumzisha […]
MAMIA YA WATU WAJITOKEZA KWENYE MAZISHI YA KIMODOI
NA,ANKO G Mamia ya watu wamejitokeza kwenye shughuli ya mazishi ya Justine James Kimodoi ambayo yamefanyika leo April 22,2025 nyumbani kwao Bukoba mkoani Kagera. Aidha […]