Ni vizuri kujua waliochukua fomu ya kugombea nafasi ya Ubunge, Jimbo La Ngara. Hadi Makala hii inaandaliwa, daftari la waliochukua fomu kama ishara ya kutaka […]
Barua ya wazi Kwa Katibu Mkuu Wa CCM
BARUA YA WAZI KWA KATIBU MKUU WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) KUHUSIANA NA VITENDO VYA UTOVU WA NIDHAMU NA UKIUKWAJI WA MAADILI VINAVYOFANYWA NA ALIYEKUWA […]
BIG AGENDA YA JOSIAS CHARLES YAIBUA MAZITO, ATANGAZA NIA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA NGARA
NA,ANKO G Mwalimu na Mwanadiplomasia Josias Charles ametangaza rasmi nia ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Ngara katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu wa 2025 […]
NURU CHALAMILA ATANGAZA KUWANIA KITI CHA UDIWANI VITI MAALUM TARAFA YA NYAMIAGA
NA, ANKO G Mjasiliamali Nuru S. Chalamila mkazi wa kata ya Ngara mjini ametangaza rasmi nia ya kuwania kiti cha udiwani viti maalum tarafa ya […]
Sakata la Udiwani La Noga, Mwandishi Dimbani
Aliyekuwa Mwandishi wa Habari Ajitosa Kugombea Udiwani Kibimba Ngara, Kagera – Juni 16 2025 Bw. Juventus Juvenary Illambona, aliyekuwa mwandishi wa habari wa Simamia TV […]
Ngara Yakumbwa na Joto la Kisiasa
Leo Mei 24, 2025, Wilayani Ngara kumekua na mengi. Wanangara wa kila umri wanashuhudia mengi yanayoendelea mitaani na kuchoshwa na harakati za kisiasa. Mbwembwe […]
MTOTO WA DARASA LA IV ANAHITAJI MSAADA
Habari za majukumu viongozi! Kwa masikitiko makubwa nawajulisha kuwa siku ya jumamosi tarehe 17/5/2025 mwanafunzi Kelvin John wa drs la IV S/M Nyabisindu akiwa anatokea […]
Kaa Mbali ni Wangu Jamani
Kama wadau wa Siamia Media Group, waliotangaza uchumba. Wewe unayenyemelea, kaa mbali – na usiseme kamwe kwani umeshachelewa Hongereni sana kwani mlipendeza. Tunawatakia ndoa na […]
Robert Josephat
TANZIA Kwa masikitiko makubwa sana, napenda kuwajuza kuwa kijana Robert Josephat (mjukuu wa marehemu mzee Meshack Rudaheza) hatuko nae tena duniani. Amepata ajali ucku wa […]
Zabron Singers Sterling, Mass USA
Leo tarehe 10, May, 2024 Wana Zabron Singers, the divas of the team, wakiwa wanaabudu na Wasabato huko mjini Sterling, Massachusetts. Zifatazo ni baadhi ya […]