NA,ANKO G Mwalimu na Mwanadiplomasia Josias Charles ametangaza rasmi nia ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Ngara katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu wa 2025 […]
NURU CHALAMILA ATANGAZA KUWANIA KITI CHA UDIWANI VITI MAALUM TARAFA YA NYAMIAGA
NA, ANKO G Mjasiliamali Nuru S. Chalamila mkazi wa kata ya Ngara mjini ametangaza rasmi nia ya kuwania kiti cha udiwani viti maalum tarafa ya […]
Sakata la Udiwani La Noga, Mwandishi Dimbani
Aliyekuwa Mwandishi wa Habari Ajitosa Kugombea Udiwani Kibimba Ngara, Kagera – Juni 16 2025 Bw. Juventus Juvenary Illambona, aliyekuwa mwandishi wa habari wa Simamia TV […]
Ngara Yakumbwa na Joto la Kisiasa
Leo Mei 24, 2025, Wilayani Ngara kumekua na mengi. Wanangara wa kila umri wanashuhudia mengi yanayoendelea mitaani na kuchoshwa na harakati za kisiasa. Mbwembwe […]
MTOTO WA DARASA LA IV ANAHITAJI MSAADA
Habari za majukumu viongozi! Kwa masikitiko makubwa nawajulisha kuwa siku ya jumamosi tarehe 17/5/2025 mwanafunzi Kelvin John wa drs la IV S/M Nyabisindu akiwa anatokea […]
Kaa Mbali ni Wangu Jamani
Kama wadau wa Siamia Media Group, waliotangaza uchumba. Wewe unayenyemelea, kaa mbali – na usiseme kamwe kwani umeshachelewa Hongereni sana kwani mlipendeza. Tunawatakia ndoa na […]
Robert Josephat
TANZIA Kwa masikitiko makubwa sana, napenda kuwajuza kuwa kijana Robert Josephat (mjukuu wa marehemu mzee Meshack Rudaheza) hatuko nae tena duniani. Amepata ajali ucku wa […]
Zabron Singers Sterling, Mass USA
Leo tarehe 10, May, 2024 Wana Zabron Singers, the divas of the team, wakiwa wanaabudu na Wasabato huko mjini Sterling, Massachusetts. Zifatazo ni baadhi ya […]
Mchuano wa Ubunge Missenyi Kazi Kwa Wajumbe
Na: Mwandishi Wetu Leo tunakwenda kutazamia jimbo na wilaya maarufu kwa wasomi wengi nchii hii ambalo ni Nkenge na ni wilaya ya Missenyi ambapo tayari […]
Kumi Bora – Wawania Ubunge Ngara
Mchambuzi wa kisiasa, Titho Philemon amechapisha majina ya wanaoonekana onekana kufaa kuliwakilisha Jimbo La Ngara Bungeni. Bofya link ifatayo kupata habari kamili kama ilivyoazimwa kutoka […]