Robert Josephat

TANZIA

Kwa masikitiko makubwa sana, napenda kuwajuza kuwa kijana  Robert Josephat (mjukuu wa marehemu mzee Meshack Rudaheza) hatuko nae tena duniani.

Amepata ajali ucku wa kuamkia leo tarehe 12/05/2025 jijini Mwanza baada  ya kugongwa na gari akiwa na bodaboda.

Poleni sana familia ya Meshack poleni wanaKabanga

Bwana ALITOA nae AMETWAA jina la Bwana lihimidiwe 

🙏

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *