NA,ANKO G
Diwani wa Kata ya Kabanga wilayani Ngara mkoani Kagera amemwakilisha Mbunge wa Jimbo la Ngara Ndaisaba George Ruhoro kwenye uzinduzi wa Albam ya Tumezitafakari Fadhili Zako ya kwaya ya Mtakatifu Fransisco wa Asizi kigango cha cha Kabanga Kastam kanisa la Mtakatifu Yasinta.
Hata hivyo Albam hiyo ina nyimbo Mbili ambazo ni Wimbo wa Nitakuimbia Eee Mungu wangu na wapili ukiwa ni Tumezitafakari Fadhili Zako ambao ni wimbo unao beba jina la Albam hiyo.
Recent Comments