NA,ANKO G.
Asilimia kubwa ya wakazi wa Ngara wanamiliki aridhi lakini wengi wao hulima kilimo cha mazoea kisicho na tija ambacho hutoa mazao yasiyo faa kwenye soko.
Vilevile migomba hiyo inaonekana kuwa ni mbegu za kizamani ambazo hazikupandwa kitaalamu huku migomba hiyo ikiwa imesogeleana sana kiasi ambacho siyo rahisi kuwa na migomba mizuri.
Hata hivyo ndizi zinazo patikana kwenye migomba hiyo ni ndogo kiasi kwamba hazifai kuuzwa sokoni zaidi zinaliwa kwa matumizi ya nyumbani jambo linalo pelekea kushusha uchumi wa wakazi wengi wa Mabawe Mukaliza.
Hivyo basi kuna haja ya serikilali kuweka mkakati mzuri wa kuhamasisha kilimo cha kisasa na maafisa kilimo kuwafikia wakulima na kufuatilia maendeleo ya mazao wanayo lima hasa migomba kama wanavyo fanya nchi jirani za Rwanda na Burundi.
Recent Comments