Klabu ya simba ni miongoni mwa timu za manzo hapa nchini Tanzania kua na wafuatiliaji wengi mitandaoni ikiwemo mitandao wa YouTube.
Lakini mpaka sasa kwa upended wa klabu ya simba imeachwa mbali kwa wafuasi takribani 20
+elfu ikiwa simba wanawafuasi laki 531+ huku yanga ikiwa na wafuasi laki 553+ hivyo inawafanya klabu ya yang kua no klabu yenye wafuasi wengi kuliko timu yeyote Tanzania.
Recent Comments